Chonde chonde walio hatarini si wakazi wa Tuvalu pekee bali sayari nzima ya dunia- Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameendelea kupigia chepuo suala la kila mkazi wa dunia pamoja na serikali kuchukua hatua kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi nchi, akisema kutochukua hatua si mbadala.