Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa antonio Guterres katika mkutano na waandishi wa habari akiwa na waziri mkuu wa New Zealand mjini Aucland
UN Photo/Mark Garten)

Heko New zealand kwa vita dhidi ya silaha, chuki, na mabadiliko ya tabianchi:UN

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterees yupo ziarani , Auckland, mjii mkuu wa New Zealand hii leo, ambapo kwenye mkutano wa  pamoja na Waziri Mkuu wa New Zealand, Jacinda Arden mbele ya waandishi wa habari amesisitiza ushirikiano wake na waathirika wa mashambulizi dhidi ya msikiti katika mji wa Christchurch mwezi Machi yaliyokatili maisha ya  watu 51 na kujeruhi wengi wengine.