Mlo baado ni shida katika maeneo ya migogoro duniani
Ripoti mpya ya pamoja ya mashirika ya Umoja wa Mataifa likiwemo lila la chakula na kilimo FAO na la mpango wa chakula WFP inasema kuwa idadi ya watu walio na njaa duniani imepanda kwa kiasi cha watu millioni 38 kati ya mwaka wa 2015 na 2016. Selina Jerobon na ripoti kamili.