Ugaidi unasalia kuwa tishio kubwa duniani, mshimakamano ni dawa mujarabu: INTERPOL
Ugaidi unasalia kuwa tishio kubwa la maisha ya watu na miundombinu duniani na Umoja wa Mataifa mjini New York unalitambua hilo ndio maana juma hili umeitisha mkutano wa ngazi ya juu uliotoa kipaumbele kwa suala hili.