Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya Tabianchi

Mabadiliko ya Tabianchi
Ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu

Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio  Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

27 Oktoba 2021

Karibu kusikiliza jarida ambapo leo tunakuletea mada kwa kina maalum kutokea Beni jimboni Kivu Kaskazini nchini DRC ikimulika michezo hususan mpira wa miguu na ulinzi wa amani ambako kumefanyika  mechi ya kirafiki kati ya Timu ya walinda amani kutoka Tanzania na wenyeji Lion Mavivi.

Pia utapata fursa ya kusikiliza habari kwa kifupi zikiangazia makubaliano ya kusambazwa dawa ya vidonge vya kutibu COVID-19 kwa wagonjwa wasio mahututi, utasikia pia shughuli mbalimbali zinazofanywa na Umoja wa Mataifa mashinani nchini Tanzania.

Sauti
11'38"