Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

27 Oktoba 2021

27 Oktoba 2021

Pakua

Karibu kusikiliza jarida ambapo leo tunakuletea mada kwa kina maalum kutokea Beni jimboni Kivu Kaskazini nchini DRC ikimulika michezo hususan mpira wa miguu na ulinzi wa amani ambako kumefanyika  mechi ya kirafiki kati ya Timu ya walinda amani kutoka Tanzania na wenyeji Lion Mavivi.

Pia utapata fursa ya kusikiliza habari kwa kifupi zikiangazia makubaliano ya kusambazwa dawa ya vidonge vya kutibu COVID-19 kwa wagonjwa wasio mahututi, utasikia pia shughuli mbalimbali zinazofanywa na Umoja wa Mataifa mashinani nchini Tanzania.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
11'38"