Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN yapunguza bajeti yake

UN yapunguza bajeti yake

Pakua

Bajeti ya umoja wa Mataifa kwa mwaka 2018-2019 yenye kurasa zaidi ya elfu 8 zilizosheheni maelezo ya mipango mbalimbali na takwimu za taasisi hii kubwa zaidi duniani ilipitishwa mwishoni mwa juma na nchi 193 wanachama wa Umoja huo ikiwa na upungufu wa mamilioni ya dola ikilinganishwa na mwaka 2016-2017 unaomalizika. Tuungane na Assumpta Massoi anayetudadavulia zaidi kuhusu kilichomo, kilichoathirika zaidi na matarajio ya baadaye katika kuhakikisha Umoja wa Mataifa unafanya kazi kwa ufanisi na unawajibika kwa nchi wanachama na walipa kodi.

Photo Credit
Ben Malor (kushoto) wa Idhaa ya Umoja wa Mataifa akimhoji Mkurugenzi wa Mipango na Bajeti kwenye Umoja wa Mataifa Johannes Huisman (kushoto) kuhusu bajeti ya mwaka 2018-2019 iliyopitishwa Jumapili. (Picha:UN/Mustafa Al Gamal)