Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida la Habari

17 JANUARI 2024

Jaridani leo tunamulika jukwaa la uchumi duniani mjini Davos Uswis, na suala la kilimo endelevu. Makala tnakuletea mbinu tatu zinazotumika kuhakikisha watoto na familia zao wanapata chanjo na mashinani tutabisha hodi mkoani Mbeya nchini Tanzania kusikia ujumbe kuhusu ujuzi unaohitajika ili kufundisha wanafunzi kwa ufanisi.

Sauti
10'14"