Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida la Habari

28 MEI 2024

Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea

-Watu zaidi ya 2000 wahofiwa kufunikwa na maporomoko ya udongo Papua New Guinea , Umoja wa Mataifa wasaidia

-Ripoti ya UNRWA inasema wakimbizi wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na dharura ya kiafya isiyokuwa na mfano wake iliyosababishwa na vita mbaya zaidi katika historia ya Gaza

Sauti
10'34"