15 Februari 2022
Miongoni mwa yaliyomo
Ikiwa leo ni siku ya Kimataifa ya saratani ya utotoni, 15 Februari 2022, Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO barani ulaya limetoa ripoti inayoonesha kukosekana kwa usawa baina ya nchi na nchi kwa suala la saratani ya watoto katika Kanda ya Ulaya ya WHO.
Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO laonya kuhusu ukame unavyoongeza zahma ya kutokuwa na uhakika wa chakula Pembe ya Afrika.