Msakata kabumbu mwenye asili ya Afrika atangazwa kuwa balozi mwema wa UNHCR
Kutana na balozi mwema mpya wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, si mwingine bali ni mwana kaandanda nyota Alphonzo Davies, anayesakata gozi kwenye timu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani lakini pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya Canada. Ametangazwa leo kufuatia mchango wake mkubwa kwa wakimbizi. Jason Nyakundi anatupasha zaidi
(TAARIFA YA JASON NYAKUNDI)
Nattss….