Bado wanawake hawawakilishwi kwa kiasi kikubwa Kenya , wanaopata nafasi wanathaminiwa:Laboso
Pakua
Wanawake duniani koete ikiwemo nchini Kenya bado hawapewi nafasi kubwa ya kuwakilishwa katika masuala ya siasa na uongozi lakini kwa wachache wanaopata fursa hiyo wanafanya kazi nzuri na mchango wao kuthaminiwa amesema Joyce Laboso gavana wa kaunti ya Bomet nchini Kenya akizungumza na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa.
Audio Credit
UN News/Arnold Kayanda
Sauti
1'53"