Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jinamizi la kukeketwa linanitesa:Keziah

Jinamizi la kukeketwa linanitesa:Keziah

"Nikiona nyembe au vitu vyenye ncha kali nakumbuka nilivyokeketwa”Ni kauli ya manusura wa mila potofu ya ukeketaji kutoka Kenya Keziah Oseko ambaye amekutana na mwandishi wa idhaa hii Joseph Msami kandoni mwa mkutano kuhusu kupinga kitendo hicho.

Mwanaharakati huyo kadhalika amesema kuwa ni wajibu wa jamii kukemea kitendo hicho ili kufanikisha kampeni dhidi ya ukeketaji. Kwanza anaanza kulezea lini hasa alianza harakati hizo.