Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkuu mpya wa UNAMID awasili Darfur kuanza kazi rasmi:

Mkuu mpya wa UNAMID awasili Darfur kuanza kazi rasmi:

Mkuu mpya wa vikosi vya pamoja vya Umoja wa mataifa na Muungano wa Afrika vya kulinda Amani Darfur UNAMID , Martin Uhomoibhi amewasili Darfur Sudan kuanza rasmi majukumu yake.

Bwana Uhomoibhi amesema , Muungano wa Afrika na Umoja wa Mataifa wana nia njema kabisa ya kusaidia pande kinzani kawenye mgogoro wa Dafur kufikia suluhu kwa njia ya Amani.

Flora Nducha amezungumza na Jumbe Omari Jumbe Mkuu wa Radio UNAMID kuhusu matarajio na hamasa baada ya kuwasili mkuu huyo mpya wa UNAMID...

(MAHOJIANO DAFUR)