Watu 300,000 walioathirika na temeko Syria wamepokea msaada wa WFP
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP limesema linaendelea na juhudi za kuhakikisha kila aliyeathirika na tetemeko la ardhi nchini Syria na Uturuki anapata msaada wa chakula unahojitajika.