Urais si rahisi iwe kwa mwanaume au mwanamke – Rais Samia
Rais Samia Suluhu Hassan akifafanua kuhusu usawa wa kijinsia katika uongozi na akianza kwa kujibu swali anavyoiangalia nafasi ya juu aliyonayo hivi sasa akiwa Rais wa Tanzania, anasema kazi hiyo si rahisi bila kujali jinsia.