Kikao cha 65 cha kamisheni ya hali ya wanawake duniani CSW65 chang’oa nanga:UN Women
Kikao cha 65 cha kamisheni ya hali ya wanawake duniani CSW65 leo kimefungua pazia mjini New York Marekani kikishirikisha wadau kutoka kila pembe ya dunia ambao safari hii kwa asilimia kubwa wanashirikia kupitia mtandaoni kwa sababu ya athari na vikwazo vya janga la corona au COVID-19.