Mobutu na Tshombe, viongozi wa DRC waliotwamisha nchi yao
Joseph-Desiré Mobutu, alikuwa Rais wa Zaire zamani ikijulikana Congo, na sasa DR Congo kwa miaka 32. Moise Tshombe, Rais wa kwanza na pekee wa jimbo la Katanga lililojitenga. Wawili hawa walikuwa chachu kubwa katika kizazi cha kusaka uhuru barani Afrika.