Ban akaribisha kuongezwa muda wa kamati ya kufuatilia silaha za maangamizi
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amekaribisha kwa furaha hatua ya kuongezewa muda kamati iliyopewa jukumu la kufuatilizia azimio la umoja huo linalotaka kupigwa marafuku uzalishaji wa silaha za maangamizi.