"2009 unaashiria mizozo ziada", kuonya KM kwenye mkutano na wanahabari kufunga mwaka
Leo asubuhi, KM Ban Ki-moon alifanyisha kikao maalumu cha kufunga mwaka, na waandishi habari wa kimataifa katika Makao Makuu ya UM. Aliashiria kazi za UM katika mwaka 2009 zitafuatana na ugumu utakaovuka matatizo ya mwaka huu:~