Dokezo ya ripoti ya OHCHR juu ya vurugu Kenya baada ya uchaguzi
Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa juu ya Haki za Binadamu (OHCHR) Ijumatano imetoa ripoti yenye kuelezea matokeo ya ziara ya wiki tatu Kenya, iliofanywa na wataalamu mwezi uliopita ambapo walichunguza kiini halisi cha machafuko na vurugu liliolivaa taifa hilo kufuatia uchaguzi wa Raisi katika Disemba 27, 2007.~