Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

BU lazingatia tatizo la ugaidi dhidi ya amani ya kimataifa

BU lazingatia tatizo la ugaidi dhidi ya amani ya kimataifa

Ijumatano Baraza la Usalama limekutana kwenye mkutano wa hadhara, kuzingatia azimio linalohusu vitisho vinavyochochewa na vitendo vya kigaidi, dhidi ya usalama na amani ya kimataifa. Baraza lilitazamiwa baadaye kupiga kura ya kupitisha azimio juu ya suala hili.~