Juhudi za kuwasawazishia wanawake haki za kisheria nchini Tanzania
Mnamo 1996, Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Wanawake (UNIFEM) lilidhaminiwa na Baraza Kuu la UM madaraka muhimu ya kusimamia matumizi ya Mfuko wa Amana ulioanzishwa wakati huo Kukomesha Unyanyasaji na Utumiaji Nguvu dhidi ya Wanawake.