Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

AU kuidhiniwa na Baraza la Usalama ruhusa ya kupeleka vikosi vya usalama Usomali

AU kuidhiniwa na Baraza la Usalama ruhusa ya kupeleka vikosi vya usalama Usomali

Mapema wiki hii Baraza la Usalama limepitisha, kwa kauli moja, pendekezo lilioruhusu Umojas wa Nchi Huru za Afrika (AU) kuanzisha operesheni mpya za usalama na amani katika Usomali kwa kipindi cha miezi sita.