Rwanda yaadhimisha miaka 60 ya kuwa mwanachama wa UN
Serikali ya Rwanda na Umoja wa Mataifa wataadimisha miaka 60 ya Rwanda kuwa mwanachama wa Umoja wa Mataifa chini ya maudhui “Ushirikiano kwa ajili ya mustakbali bora na wa pamoja kwa wote.” Kutoka Kigali Rwanda Flora Nducha na maelezo zaidi