UN yalaani mashambulizi dhidi ya maeneo ya kihistoria Odesa, Ukraine
Maafisa waandamizi wa Umoja wa Mataifa wamelaani vkali mashambulio makubwa yaliyofanywa na makombora ya Urusi dhidi ya mji wa Odesa nchini Ukraine, mashambulio ambayo yameharibu majengo kadhaa ya kihistoria.