Miaka 20 ya azimio namba 1325: Mafanikio na Changamoto
Mwaka huu azimio namba 1325 la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu wanawake na ulinzi na usalama duniani, limetimiza miaka 20 tangu kupitishwa kwake.
Mwaka huu azimio namba 1325 la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu wanawake na ulinzi na usalama duniani, limetimiza miaka 20 tangu kupitishwa kwake.
Kamati ya tuzo ya amani ya Nobel yenye makao yake nchini Norway leo imelitangaza shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP kuwa ndio mshini wa tuzo ya amani ya Nobel kwa mwaka huuu wa 2020.
Rais mstaafu wa Tanzania, Benjamin William Mkapa amefariki dunia leo, akiwa na umri wa miaka 81.
Taarifa za kifo chake zimetangazwa kwa taifa usiku wa kuamkia leo Ijumaa kupitia televisheni na Rais John Magufuli kutokea mji mkuu Dodoma.
Hii leo kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani kumeanza mkutano wa mwaka wa Umoja wa Mabunge duniani, IPU ambapo suala kuu linalomulikwa ni elimu.