Dola bilioni 3 zahitajika kwa wakimbizi wa Sudan Kusini
Wakuu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa yanayohusika na usaidizi wa kibinadamu na wakimbizi leo wametembelea kambi ya Kakuma nchini Kenya ili kushuhudia hali halisi ya kibinadamu wanayokabiliana nayo wakimbizi wa Sudan Kusini nchini humo. Taarifa zaidi na Patrick Newman.