Walinda amani wa UN kutoka Pakistani waondoka DRC
Azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kuondoa vikosi vya ulinzi wa amani vya umoja huo vinavyohudumu chini ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, (MONUSCO) linaendelea kutekelezwa ambapo hivi karibuni zaidi, wanajeshi walioondoka ni wale wa Pakistani.