UN yaahidi msaada zaidi kwa wakimbizi wa ndani Ituri, DRC
Umoja wa Mataifa umesema utashirikiana na mamlaka za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, pamoja na wadau wake wengine ili kuhakikisha kuna usalama mashariki mwa Taifa hilo, amesema Jean-Pierre Lacroix Mkuu wa Operesheni za Ulinzi wa amani kwenye Umoja wa Mataifa.