Dola bilioni 3.6 zahitajika kukwamua watoto mwaka 2018- Unicef
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limetangaza ombi la dola bilioni 3.6 kwa ajili ya kufikisha misaada ya kibinadamu kwa watu milioni 82 wakiwemo watoto. Taarifa zaidi na Selina Jerobon.