Raia wa DRC waendelea kufungasha virago na kukimbilia nchi jirani
Maelfu a raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wanedelea kufungasha virago na kukimbilia nchi jirani za Burundi, Tanzania na Uganda katika kiwango cha kutia hofu limesema leo shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR. Siraj Kalyano na taarifa kamili.