Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya Tabianchi

Mabadiliko ya Tabianchi
Ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu

Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio  Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Tarehe 26 Oktoba 2022, katika kijiji cha Daley katika Kaunti ya Garissa, Kenya - (kutoka kushoto kwenda kulia) Osman (11), Abdullahi (15) na Abdi (12) wa shule ya msingi ya Daley wakinywa maji safi na salama yanayotoka katika kisima kinachoendeshwa kwa n…
©UNICEF/James Ekwam

Kisima kinachotumia nishati ya jua chawa mkombozi wa elimu kijijini Daley, Garissa, Kenya

Msaada wa kisima cha maji uliofanikishwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF katika shule ya Msingi ya Daley kwenye Kijiji cha Daley, Kaunti ya Garissa nchini Kenya, umesaidia sana jamii hasa katika suala la elimu katika eneo hilo la nchi ambayo imekosa mvua ya kutosha kwa misimu mitano mfululizo.

Sauti
3'14"