Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya Tabianchi

Mabadiliko ya Tabianchi
Ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu

Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio  Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

22 Novemba 2021

Karibu kusikiliza jarida leo tunajikita katika mada kwa kina kuangazia harakati za kusongesha viwanda vidogo vidogo barani Afrika hususan nchini Tanzania, kwa kuzingatia kuwa mwishoni mwa wiki ilikuwa ni siku ya viwanda barani Afrika.

Pia utapata fursa ya kusikiliza habari kwa ufupi

Sauti
11'41"