11 Mei 2021
Ghasia zaendelea Yerusalem Mashariki, UN yapaza sauti.
Juhudi za kujikwamua na COVID-19 zakumbana na kigingi, huku gonjwa wakiongezeka, imesema ripoti ya hali na matarahjio ya uchumi duniani, WESP.
Na ufadhili wa Benki ya dunia kwa nishati ya jua, nuru kwa wafanyabiashara Somalia.