Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

07 Mei 2021

07 Mei 2021

Pakua

Katika mada kwa kina, vijana nchini Tanzania wamechukua hatamu ya maisha yao kwa kujiunga katika umoja ili kutekeleza azma ya Umoja wa Mataifa ya kuondokana na umaskini ifikapo mwaka 2030. Mwenyeji wetu katika mada kwa kina in Leah Mushi!Karibu!

Audio Duration
11'10"