11 Mei 2021
Pakua
Ghasia zaendelea Yerusalem Mashariki, UN yapaza sauti.
Juhudi za kujikwamua na COVID-19 zakumbana na kigingi, huku gonjwa wakiongezeka, imesema ripoti ya hali na matarahjio ya uchumi duniani, WESP.
Na ufadhili wa Benki ya dunia kwa nishati ya jua, nuru kwa wafanyabiashara Somalia.
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
12'48"