Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

05 Mei 2021

05 Mei 2021

Pakua

Kufuata takwimu na kuwekeza kwa wakunga ni jibu la uhai wa mama na mtoto, inasema UNFPA katika kuadhimisha siku ya wakunga duniani.

Viwango vipya vya WHO kuzisaidia nchi kupunguza ulaji wa chumvi na kuokoa maisha.

Nchi yako ni kama mama na kujitenga nayo ni mtihani, anasema Mkimbizi Donatien wa Burundi aliyeishi Rwanda kwa muda wa miaka 4 na sasa amerejea nyumbani na familia yake kupitia mpango wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
12'38"