Hakuna uzuri wowote wakushiriki ngono katika umri mdogo
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto -UNICEF nchini Uganda linafadhili mradi wa Mama kwa Mama ambao unajengea uwezo maafisa wa ustawi wa jamii wanaopita kila kaya maskini kusaka barubaru na vijana balehe waliopata mimba katika umri mdogo na kuwapatia stadi za ufundi ili hatimaye waweze kujipatia kipato na kubadilisha maisha yao.
(Taarifa ya Leah Mushi)