Uganda inajitahidi kupambana na dawa za kulevya, lakini kuna changamoto
Uganda imepiga hatua katika kudhibiti dawa za kulevya na fursa ya matibabu kwa waathirika amesema mwakilishi wa kudumu wa Uganda kwenye Umoja wa mataifa Dr Richard Nduhuura.
Uganda imepiga hatua katika kudhibiti dawa za kulevya na fursa ya matibabu kwa waathirika amesema mwakilishi wa kudumu wa Uganda kwenye Umoja wa mataifa Dr Richard Nduhuura.
Leo kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York Marekani kunafanyika kongamano Ia ngazi ya juu kuhusu ajenda ya maendeleo ya bara la Afrika, itwayo “Afrika tunayotaka”.
Askari wa kulinda amani wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemkorasia ya Congo DRC MONUSCO kimetoa misaada kadhaa kwa jamii nchini humo.
Katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa Ban Ki-moon amezitaka pande zote katika mchakato wa amani nchini Yemen kushirikiana kwa moyo mkunjufu na mwakilishi maalumu wa Umoja wa mataifa kwa ajili ya Yemen Ismail Ould Cheikh Ahmed, ili majadiliano ya amani yaanze bila kuchelewa zaidi
Watu wawili wamefariki dunia kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana, na wengine wanne kujeruhiwa kwenye vurugu nchini Mali, wakati wa maandamano makali yaliyofanyika siku ya Jumatatu mjini Kidal.
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula (WFP), linatarajia kuzindua operesheni ya dharura ya kusaidia watu wapatao milioni 1 walioathirika na ukame nchini Haiti.
Kamishna Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu, Zeid Ra'ad al Hussein, amekaribisha leo kuachiliwa huru kwa wafungwa 83 nchini Myanmar ambao miongoni mwao ni wanaharakati wa haki na waandishi wa habari.
Mfumo uliomo kwenye mikataba ya biashara ambao unatoa fursa kwa wawekezaji na serikali kusuluhisha migogoro ya kibiashara, ISDS, unazidi kudidimiza utawala wa kisheria na demokrasia.
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limekaribisha hatua mfululizo za serikali ya Jordan zinazowezesha wakimbizi wa Syria kupata kazi kihalali nchini humo.
Mratibu Mkuu wa masuala ya Kibinadamu katika Umoja wa Mataifa, Stephen O’Brien, amesafiri kwenda nchini Ecuador, kwa minajili ya kujionea mwenyewe athari za tetemeko kubwa la ardhi lililoipiga mikoa kadhaa nchini humo mwishoni mwa wiki iliyopita.