Askari MONUSCO wasaidia raia DRC
Pakua
Askari wa kulinda amani wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemkorasia ya Congo DRC MONUSCO kimetoa misaada kadhaa kwa jamii nchini humo.
Misaada hiyo katika sekta ya elimu na kwa wakimbizi imepokelewa kwa bashasha na wakazi nchini humo kama anavyosimulia Joseph Msami. Ungana naye.