Utupaji na upotevu wa chakula sasa basi: UM
Katika harakati za kuona kuna uhakika wa chakula duniani, kampeni mpya imeanzishwa kuepusha upoteaji au utupaji wa chakula.
Katika harakati za kuona kuna uhakika wa chakula duniani, kampeni mpya imeanzishwa kuepusha upoteaji au utupaji wa chakula.
Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM limesema kuwa wakimbizi wanaokimbia machafuko Syria kuelekea Jordan wanaendelea kuongezeka. Jumbe Omar Jumbe, ambae ni msemaji wa IOM, amezungumza na Radio ya Umoja wa Mataifa kuhusu suala hilo.
Madini ya zebaki yana umuhimu mkubwa kwa maisha ya kila siku ya mwanadamu, lakini madini haya pia yametajwa kuwa na athari nyingi za afya ya mwanadamu kwa miaka mingi pasipo wengi kufahamu athari zake.
Umoja wa Afrika umekaribisha hatua ya rais wa Madagascar Andry Rajolina ya kutangaza kutogombea kwenye uchaguzi mkuu wa urais uliopangwa kufanyika baadaye mwaka huu, ikiwa ni sehemu kukubali sharti lililkotoewa na Jumuiya ya Maendeleo Kusin mwa Afrika SADC, iliyotaka kuwepo kwa maelewano ya kisas
Nchini Somalia hususan mji mkuu Mogadishu ambapo awali vikundi vya kigaidi vilitamba, hali ya amani imeanza kutengamaa. Wananchi nyakati za usiku wanafanya shughuli zao hata kucheza mpira wa miguu ambao awali ulipigwa marufuku na Al Shabaab. Je nini imesababisha hali hii?
Hatimaye itifaki ya kutokomeza biashara haramu ya bidhaa za Tumbaku imeanza kutiwa saini na hivyo kuonyesha utashi wa kisiasa wa nchi wanachama wa mkataba wa kimataifa wa kudhibiti matumizi ya tumbaku.
Mwezi huu wa januari kumeshuhudiwa kuanza kurejea kwa wakimbizi wa Somalia nchini mwao.
Kilimo bora kinahitaji pia uwepo wa ardhi yenye rutuba. Nchi Gambia kama ilivyo katika nchi nyingi za Afrika tunaelezwa kuwa ardhi yenye rutuba hutumiwa zaidi na wanaume na wanawake hubakia pembezoni kwenye ardhi iliyochoka na hivyo hata kwa jitihada gani matunda ya kazi ni nadra kuonekana.
Kambi ya Dadaab iliyoko Kaskazini Mashariki mwa Kenya inahifadhi wakimbizi kutoka Somalia. Kambi hii inaelezwa kuwa ni kubwa kuliko kambi zote za wakimbizi duniani ikiwa inahifadhi wakimbizi zaidi ya Laki Nne na Nusu. Uhaba wa maji umekuwa kikwazo kikubwa cha maendeleo.
Mwezi Disemba mwaka 2012 Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilipitisha azimio kuhusuu shirika lake linalohusika na mazingira, UNEP. Je azimio hilo lina malengo yapi na manufaa yake ni nini? Tujiunge na Monica Morara.