Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kurejea kwa wakimbizi wa Somalia ni vema lakini kuna changamoto

Kurejea kwa wakimbizi wa Somalia ni vema lakini kuna changamoto

Pakua

Mwezi huu wa januari kumeshuhudiwa kuanza kurejea kwa wakimbizi wa Somalia nchini mwao.

Tafsiri mbalimbali zimetolewa juu ya kitendo hicho lakini kubwa zaidi likielezwa kuwa ni kurejea kwa amani nchini Somalia baada ya miongo miwili ya vita vya wenyewe kwa wenyewe. Hata hivyo ili kufahamu zaidi Monica Morara wa radio ya Umoja wa Mataifa amefanya mahojiano maalum na mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia, Balozi Augustine Mahiga ambaye anaanza kwa kuelezea hatua hiyo ya kurejea nyumbani kwa wakimbizi

(MAHOJIANO BALOZI MAHIGA)