Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

hali ngumu ya uchumi

Restless Development Video

Wanawake wa Dodoma Singida na Zanzibar kunufaika na mradi wa pamoja wa UN

Hii leo Jumatano visiwani Zanzibar nchini Tanzania, mashirika ya Umoja wa Mataifa likiwemo la Chakula na Kilimo (FAO), Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) na kushughulikia masuala ya wanawake, (UN Women) wamezindua programu ya miaka mitano ya kuongeza kasi ya Uwezeshaji wa mradi wa uimarishaji uchumi wa wanawake wa Vijijini. Leah Mushi na taarifa zaidi.  

(Taarifa ya Leah Mushi) 

Sauti
4'11"
ILO/K.B. Mpofu

IMF yasema uchumi wa dunia bado umedorora

Shirika la fedha duniani IMF kupitia taarifa yake kuhusu mapato ya serikali na maendeleo ya kifedha iliyotolewa leo limeonya kwamba uchumi wa dunia unazorota wakati huu ambapo mazingira ya kifedha kote duniani yanaendelea kuwa magumu. Taarifa zaidi inasomwa na Happiness Palangyo wa redio washirika Uhai FM ya Mkoani Tabora Tanzania. 

(TAARIFA YA HAPPINESS PALANGYO) 

Sauti
2'54"

05 OKTOBA 2022

Hii leo kwenye Habari za UN  tunamulika masuala ya amani na usalama, hali ngumu ya uchumi Tunisia yasababisha wananchi kutojua la kufanya, siku ya walimu duniani na uboreshaji wa madarasa huko Malawi.

1. Idadi kubwa ya matukio ya utesaji katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) vinatokea katika maeneo yaliyoathiriwa na mizozo ambako hali ya kutoadhibiwa kwa wahalifu imeenea.

Sauti
12'5"