Heko Uganda kwa kuwaenzi wakimbizi:UNHCR

kamishina mkuu wa UNHCR Filipo Grandi akiwasikiliza wakimbizi kutoka Sudan Kusini wakati wa ziara yake nchini Uganda .
dailynews023c-18_01Kamishina mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, ameipongeza serikali ya Uganda kwa sera nzuri isiyokuwa na mipaka wala urasimu inayowaenzi na kuwathamini wakimbizi wanaoingia nchini humo. Tupate maeelezo kamili na Joseph Msami