Vijana kushirikishwa katika kuleta mabadiliko siku ya idadi ya watu:UNFPA Tanzania
Kuelekea siku ya kimataifa ya idadi ya watu November 18 imeelezwa kuwa vijana wakiwezeshwa na kujumuishwa katika uzalishaji wanaweza kuchangia katika pato la nchi.
Katika mahojiano na afisa mawasiliano wa mfuko wa idadi ya watu nchini Tanzania UNFPA , Sawiche Wamunza, afisa wa idadi ya watu na maendeleo Samweli Msokwa amesema UNFPA itaadhimisha siku hiyo kwa kuandaa mjadala utakaonufaisha vijana, kulingana na kauli mbiu ya mwaka huu inayozungumzia nguvu ya vijana katika kubadilisha dunia.
(SAUTI SAMWELI)
Mahojiano kamili yatapatikana katika ukurasa wetu.