Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kilimo endelevu silaha ya kutokomeza njaa na kuhifadhi mazingira:Tanzania

Mazao yaliyostawi shambani kutokana na matumizi ya samadi itokanayo na mifugo walionunuliwa na fedha za mradi wa panda miti pata pesa. (Picha@Unifeed)

Kilimo endelevu silaha ya kutokomeza njaa na kuhifadhi mazingira:Tanzania

Wakati siku zikiyoyoma kuelekea ukomo wa malengo ya maendeleo ya milenia, Tanzania iko kwenye kasi ya kuboresha kilimo chake ili kisaidia kutokomeza njaa, umasikini huku kikihifadhi mazingira.

Dkt. Benilith Mahenge amesema hayo katika mahojiano maalum na idhaa hii.

(Sauti ya Dkt. Mahenge)

Kuhusu biashara ya hewa ya ukaa ambayo sasa imedorora, Dkt. Mahenge amesema sababu ni kutokuwepo kwa mkataba wa kimataifa wa kusimamia biashara hiyo kwa sasa.

(Sauti ya Dkt. Mahenga)

Mahojiano kamili yatapatikana kwenye tovuti yetu.