Harakati za kukabiliana na Ebola nchini Cote d'Ivoire
Wakati dunia ikiendelea kupambana na mlipuko wa Ebola huko Afrika Magharibi, muelimishaji mmoja wa jamii anafanya kila awezalo ili kuzuia watu nchini cote d'ivoire wasiambukizwe Ebola.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani,WHO, kufikia wiki jana idadi ya walioambukizwa Ebola imefikia watu 8033 huku watu wengine 3879 wakifariki. ungana na Abdullahi Boru katika makala hii.