UNICEF yahadharisha: "Unyamavu wa kigeugeu umewasili Goma"
Hali inaendelea kuwa shwari katika Goma, lile eneo la mashariki katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, ambapo mnamo siku za karibuni mapigano makali yalishtadi huko baina ya vikosi vya serikali na waasi wa kundi la CNDP.