Mabadiliko ya tabianchi yasababisha ukosefu wa amani na usalama.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo limekuwa na mjadala wa wazi kuangazia jinsi gani mabadiliko ya tabianchi yanasababisha ukosefu wa amani na usalama duniani, mkutano uliongozwa na waziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya Dominica Miguel Vargas.