Hakuna haja ya kutangaza udharura wa kiafya duniani kutokana na Ebola DRC
Hii leo WHO ilikuwa na kikao cha kamati ya dharura kuangazia iwapo mlipuko wa Ebola huko DRC unasababisha udharura katika afya ya umma ulimwenguni au la. Wataalamu wamekutana na kumshauri Mkurugenzi Mkuu naye ametangaza uamuzi wake.